Jeremiah 9:17-18

17 aHivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,
waite wale walio na ustadi kuliko wote.

18 bNao waje upesi
na kutuombolezea,
mpaka macho yetu yafurike machozi
na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.
Copyright information for SwhKC